YouLyric
Sign in
Sign up for free
Wewe
Share
104
What's this song about?
Generate meaning
1
[Verse 1] - Young Lunya
2
Baby una bonge la shape, sura pia,
3
Bonge la upaja na guu la bia,
4
Mtaani, mtaani wanakunyatia,
5
Eti nnapokula mi wanataka kula pia, mmh!
6
Sema mwingine I don't see,
7
Haters wanabaki like OMG (OMG)
8
Wanafki nao oh hooh,
9
Hawawashi.. pilipili hoho,
10
Baby la kichaga, shimboni
11
Baby we ni maji, shingoni
12
Baby we ni mwisho, ukingoni
13
Baby una utundu wa kingoni
14
Na pozi za kisister du,
15
Chini nikila AirMax we ni viatu vya juu,
16
Tumetoka mbali hawajui,
17
Tumetoka mbali, M-Rap, Hawajui
18
[Chorus] - Young Lunya
19
Oh baby it's you, unanifanya nifurahi
20
Kila saa natabasamu,
21
Oh baby it's true, unaponiangalia
22
Unaniteka tena sana
23
So nkaona bora nibaki na wewe
24
(Bora nibaki na wewe) - x 3
25
[Verse] - Salmin Swaggz & Young Lunya
26
Mara ya kwanza namuona alikua anatoka class,
27
Ili ajue sinywi pombe nikaficha glass,
28
Daftari likanihusu.. maana ana class,
29
So, akaniruhusu mi nikampa trust,
30
No negativity tukaenda dhibiti,
31
Maneno ya marafiki tukayafunga kama vizingiti,
32
Told her about the games that I don't play, (Don't play)
33
Kabla sijasema she know what I'm gon' say, (Gon' say)
34
You know my family, you know my whole spirit,
35
Nishatembea na madem wana hoe spirit, (Hoe spirit baby)
36
Nawapa wanachezea but they don't steal it,
37
It's coming from my heart so I know you feel it,
38
[Hook] - Young Lunya
39
We... na wewe,
40
Utakapoishi we,
41
Nataka niishi na wewe
42
[Chorus] - Young Lunya
43
Oh baby it's you, unanifanya nifurahi
44
Kila saa natabasamu,
45
Oh baby it's true, unaponiangalia
46
Unaniteka tena sana
47
So nkaona bora nibaki na wewe
48
(Bora nibaki na wewe) - x 3
49
[Bridge] - Conboi
50
Tumetoka mbali, tunakwenda mbali nataka ufike na mimi girl,
51
Twende nyumbani ukawaone wazazi, yeah
52
Nampenda mpenda she knows that (She know dat)
53
Sintomtenda she knows that (She know dat)
54
Nampenda mpenda she knows...
55
Sintomtenda, mi nampenda
56
[Verse] - Country Boy
57
Ipite siku sijakuona moyo utanidunda,
58
Kwa uzuri ulio nao sijui kama utachunda,
59
Mungu akupe nini, we zaidi ya dini,
60
Mi mshamba wa mapenzi ukicheche za watoto wa mjini, haah
61
Nataka siku uniite husby, haah
62
Tuzae watoto waniite daddy,
63
Sitoi boko mechi zote mi ni shuti ndani,
64
Unanidatisha unaposema "I'm coming..."
65
[Outro] - Young Lunya
66
Bora nibaki na wewe x4
67
Mama we, bora nibaki na wewe
68
Wengine wananichanganya changanya nkaona bora wewe
Ruger - Girlfriend (Official Video)
1.8K views
0 meanings
Go Pro
Unlimited meanings ยท Priority generation
Upgrade