YouLyric
Sign in
Sign up for free
Nitafanya
Share
Kidum
What's this song about?
Generate meaning
1
Verse 1(Kidum)
2
Ikiwa umeamua kunitoroka
3
ikiwa unahisi hujiskii nami tena
4
na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
5
naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
6
kupenda, usipende
7
ni kama kujitia kitanzi
8
nitachimba na sururu
9
kwa ardhi nikitafuta penzi lako
10
ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
11
sababu ntajikuna ama ntajikanda na maji moto
12
maumivu ya penzi, mtu hajikuni
13
wala hajikandi na maji
14
na hakuna upasuaji
15
Chorus
16
kama
17
kuna kosa nimewahi fanya(nielezee)
18
kama
19
kuna jinsi tunaweza leta(mpaka niishi)
20
na kama
21
kuna kitendo linaweza tendwa(nielezee)
22
nitafanya(fanya)
23
nitatenda(tenda)
24
nitafanya(fanya)
25
nitatenda(tenda)
26
nitafanya(fanya)
27
nitatenda(tenda)
28
nitafanya(fanya)
29
nitatenda(tenda)
30
Verse 2(Lady Jay Dee)
31
kweli hukumbuki ulioyafanya
32
ni kweli unakumbuka tulikotoka
33
sisemi habari zozote za kusikia
34
bali kwa ushahidi niliouona
35
msamaha mara ngapi
36
umeshaomba na bado
37
chenye makosa mangapi
38
niliyoyafumbia macho
39
mpaka leo nahisi kufika kikomo
40
maumivu yanazidi
41
ndani ya moyo
42
sitaki kwenda mbali kwani uko moyoni
43
nikusamehe mimi mara ngapi wee
44
nielezee mpenzi mara ngapi
45
Chorus
46
unataka nikusamehe mara ngapi(usihesabu)
47
ungependa nikuvumilie mara ngapi(hii ni ya mwisho)
48
je wewe nikulilie mara ngapi(vumilia)
49
sitoweza(utaweza wee)
50
nimechoka(usichoke)
51
nimeshindwa(usishindwe)
52
naondoka(usiondoke)
53
sitoweza(utaweza yee)
54
nimechoka
55
nimeshindwa(usishindwe)
56
naondoka(usishindwe)
57
Verse 3
58
ukihesabu mara ngapi umenisamehe
59
ni kama kuhesabu
60
ni mara ngapi mtoto kaharibu nappy
61
usichoke
62
usiondoke
63
usilie
64
niko hapa kukulinda
65
Chorus
66
kama
67
kuna kosa nimewahi fanya(nielezee)
68
kama
69
kuna jinsi tunaweza leta(mpaka niishi)
70
na kama
71
kuna kitendo lingeweza tendwa(nielezee)
72
nitafanya(fanya)
73
nitatenda(tenda)
74
nitafanya(fanya)
75
nitatenda(tenda)
76
nitafanya(fanya)
77
nitatenda(tenda)
78
nitafanya(fanya)
79
nitatenda(tenda)
80
unataka nikusamehe mara ngapi(usihesabu)
81
ungependa nikuvumilie mara ngapi(hii ni ya mwisho)
82
je wewe nikulilie mara ngapi(vumilia)
83
sitoweza(utaweza wee)
84
nimechoka(usichoke)
85
nimeshindwa(usishindwe)
86
naondoka(usiondoke)
87
sitoweza(utaweza yee)
88
nimechoka
89
nimeshindwa(usishindwe)
90
naondoka(usishindwe)
KIDUM Feat. LADY JAYDEE - NITAFANYA (OFF...
294 views
1 meanings
Go Pro
Unlimited meanings ยท Priority generation
Upgrade